http://s3-us-west-2.amazonaws.com/millard-ayo-bucket/wp-content/uploads/2017/09/12124853/Kubenea.jpg

Friday, March 29, 2013

BREAKING NEWSSS:::WALIOKO CHINI YA GHOROFA LILILOANGUKA BADO WAKO HAI

Sehemu ya chini za ghorofa hilo  zinaonekana bado nzima hazijadondoka ila kifusi cha kutoka juu ndio kimefunika lakini kuna watu ndani yake wako hai na inaripotiwa wanapata hewa vizuri na wamekua wakiwapigia ndugu zao na kuwaita waje kwenye eneo la tukio.

No comments:

Post a Comment