http://s3-us-west-2.amazonaws.com/millard-ayo-bucket/wp-content/uploads/2017/09/12124853/Kubenea.jpg

Wednesday, October 18, 2017

Craig Shakespeare afungashiwa virago Leicester City

nintchdbpict000306496363-e1488726855969.jpg

ENGLAND: Uongozi wa klabu ya soka ya Leicester City umemfukuza kazi kocha wa timu hiyo, Craig Shakespeare.
  • Craig Shakespeare emefungashiwa virago ikiwa ni miezi 4 tangu aliposaini mkataba wa miaka 5 ya kuinoa Leicester City.
  • Craig Shakespeare mwenye umri wa maiaka 53 alichukua mikoba ya kuinoa timu hiyo baada ya kumfukuzwa Claudio Ranieri aliyechukua ubingwa wa Ligi Kuu nchini Uingereza(EPL) 2015/16.
=====
Leicester City has sacked manager Craig Shakespeare just four months after he signed a three-year deal to take the job on a permanent basis.

The Foxes are third from bottom in the Premier League and have not won any of their past six league matches.

Shakespeare, 53, succeeded title winner Claudio Ranieri in February, initially on a temporary basis.

After steering the Foxes away from trouble to finish in 12th place, he was given the job permanently in June.

- BBC Sports

No comments:

Post a Comment