Golikipa
 wa Italia Buffon na Lionel Messi wakiwa na Papa Francis Vatican leo 
wakati wachezaji wa timu ya taifa ya Italia na Argentina ambao 
wanajiandaa na mchezo wa kirafiki baina yao walipoenda kumtembelea 
kiongozi huyo wa kanisa katoliki duniani.

Papa
 akiwa na Kichaa Mario Balotelli wakitaniana wakati wachezaji mbalimbali
 walipoenda kumtembelea mkuu huyo wa kanisa katoliki duniani
 

 
No comments:
Post a Comment