Ligi ya mbuzi inayoendelea katika chuo kikuu
kishiriki cha elimu (DUCE) imezidi Kushika kasi kwa kushuhudia baadhi ya timu zilizojiandaa vyema kuonekana
na ambazo zinasidikiza kuonekana
dhahiri,
Kwa takriban wiki mbili sasa tangu ligi hiyo ianze
imeshuhudiwa timu ya mwaka wa tatu na
mwaka wa kwanza ndio wanaopewa nafasi kubwa ya kumtwaa mbuzi huyo na kreti za
soda zilizoandaliwa kwa mshindi wa ligi hiyo
Mpaka sasa mwaka wa tatu wamefanikiwa kuchezwa mechi
mbili na kushinda zote kwa idadi nzuri tu magoli ambapo mechi ya kwanza mwaka
wa tatu waliweza kuchezwa na timu ya staff (DUCE) na kufanikiwa kuibuka na
ushindi wa magoli 5 kwa moja (5-1), na mmechi ya pili katika kundi lake
walifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2 kwa ziro (2-0) dhidi ya timu ya
(DARUSO-DUCE), kutokana na ushindi wa mechi hizo timu ya mwaka wa tatu
inaongoza kundi A lililo na timu 4 na kukaa ticketi ya kuchezwa nusu fainali
inayotarajiwa kuanza mwishoni mwa wiki ijayo na kukutana na mshindi wa pili
kundi B.
S/N
|
TEAM
|
PL
|
W
|
L
|
D
|
GF
|
GA
|
GD
|
P0
|
1.
|
M.TATU
|
2
|
2
|
0
|
0
|
7
|
1
|
6
|
6
|
2.
|
STAFF
|
3
|
1
|
1
|
1
|
4
|
7
|
-3
|
4
|
3.
|
DARUSO
|
2
|
0
|
1
|
1
|
0
|
2
|
-2
|
1
|
4.
|
MABIBO
|
2
|
0
|
1
|
0
|
2
|
3
|
-1
|
0
|
Vilevile timu ya mwaka w kwanza imefanikiwa kuchukua
Uongozi wa kundi A kwa kuweza kujishindia mechi zake zote tatu, ambapo mechi ya
kwanza waliweza kuifunga timu ya
property marketing and consultant kwa mabao (2-1), na mechi ya pili waliweza
kushinda kwa usindi wa 3-1 dhidi ya timu ya HEROES pia wameweza kushuhudiwa hii leo wakiibuka kwa ushindi wa
moja bila (1-0) dhidi ya timu ya mwaka wa pili.
S/N
|
TEAM
|
PL
|
W
|
L
|
D
|
GF
|
GA
|
GD
|
PO
|
1.
|
M.
KWANZA
|
3
|
3
|
0
|
0
|
6
|
2
|
4
|
9
|
2.
|
M.
PILI
|
1
|
0
|
1
|
0
|
0
|
1
|
-1
|
0
|
3.
|
P.MARKETING.
C
|
1
|
0
|
1
|
0
|
1
|
2
|
-1
|
O
|
4.
|
THE
HEROES
|
1
|
0
|
1
|
0
|
1
|
3
|
-2
|
0
|
Lgi hiyo inatazamiwa kuendelea mnamo siku ya kesho na mechi inayoonekena kuwa na mvuto kwa pande
zote ni mbili ni ile itakayoikutanisha timu ya MABIBO na timu ya MWAKA WA TATU
mnamo siku ya jumanne kutokana na timu zote kutupiana vijembe kwa sana vya hapa
na pale huku kila pande ikijinasibu
kuibuka na kuishindi siku hiyo.
Katika mechi zote hizo zilizochezwa inaonekana timu
ya mwaka wa tatu kuwa wafungaji imara na mabeki walijizatiti kwani mpaka sahivi
mfungaji bora ni wa mwaka wa tatu aitwaye KIPONZA mwenye magoli 4 akifuatiliwa
kwa karibu na HUSSEIN wa mwaka wa kwanza
mwenye mabao (3).
S/N
|
JINA
LA MCHEZAJI
|
MAGOLI
|
TIMU
|
1.
|
KIPONZA
|
4
|
M.TATU
|
2.
|
HUSSEIN
|
3
|
M.MOJA
|
3.
|
ALBETO
|
2
|
M.MOJA
|
4.
|
FILO
|
1
|
M.TATU
|
5.
|
HAMIDU
|
1
|
M.TATU
|
6.
|
SAID
|
1
|
M.TATU
|
7.
|
ERICKY
|
1
|
STAFF
|
YAFUATAYO
NI BAADHI YA MATUKIO KATIKA PICHA KWA MECHI CHACHE AMBAZO ZILISHA CHEZWA.
huyu ni HUSSEIN MAJIMOTO mchezaji wa mwaka wa kwanza anayefuatia kwa ufungaji wa magoli (3)
huyu ni AYUBU KIPONZA anaengoza kwa ufungaji (4) mchezaji wa mwaka wa tatu
huyu ni mchezaji wa timu ya mwaka wa tatu aliyetokea kukubalika sana na wachina kutokana na kipaji chake, yawezekana akaenda kufanyiwa majaribio china
hawa ni wachezaji wa mwaka wa tatu wakiwa wanatoka kwenye kupasha misuli na yule aliyetangulia ni (MAULID ATHUMANI) lakini uitwa CHUJI kutokana na aina yake ya kunyoa,nafasi anayocheza na jinsi anavyocheza kama CHUJI mwenyewe
No comments:
Post a Comment