http://s3-us-west-2.amazonaws.com/millard-ayo-bucket/wp-content/uploads/2017/09/12124853/Kubenea.jpg

Sunday, July 14, 2013

BREAKING NEWSSSS::::::MAPIGANO YATOKEA SUDAN NA WANAJESHI WA JWTZ WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA

Habari kutoka vyanzo mbalimbali vilivyoko Sudan vinadai kuwa Kulfi kuwa na mapigano makubwa yameyosababisha Askari takribani saba wa JWTZ kupoteza maisha leo. Hii imetokea baada ya waasi kuwafanyia "ambush"

* Ieleweke kuwa, Askari wetu kule ni peacekeepers na si peace enforcers. Peace keepers huwa wanakuwa hatarini zaidi kwani hawaruhusiwi kushambulia mpaka watakapoanzwa. Kutokana na hilo mara nyingi huwa wanakuwa victims wa ambush attacks.

SOURCE new york times

No comments:

Post a Comment