http://s3-us-west-2.amazonaws.com/millard-ayo-bucket/wp-content/uploads/2017/09/12124853/Kubenea.jpg

Thursday, March 21, 2013

man united kuanza kuonesha filamu za hollywood old trafford mpaka mwisho wa msimu


"Tuna furaha sana kuwepo kwenye nafasi tuliyopo kwenye ligi," manager wa Man United aliwaambia waandishi wa habari wakati akitangaza uamuzi huo. "Huwezi kuchoka kushinda ligi, lakini suala la kushinda ligi mapema kukiwa kumebakiwa na mechi nyingi, mashabiki wanaweza wakapoteza hamu ya kwenda uwanjani kwa kiasi fulani. Hivyo tumeamua kuanza filamu ili kuzidi kuwaburudisha mashabiki. Nadhani wakati wa mechi na Man City tutakuwa tukionyesha filamu iitwayo You Got Served, then kwenye mechi  ya Aston Villa tutaonyesha Apocalypse Now, na Chelsea tutaonyesha Run Fatboy Run na dhidi ya Swansea itakuwepo filamu ya The Silence of the Lambs."

Msimu uliopita, Man United walipoteza taji kwa Man City kwenye dakika ya mwisho ya msimu. Ingawa Red Devils wanaonekana kuwa vizuri tofauti na msimu uliopita.

No comments:

Post a Comment