http://s3-us-west-2.amazonaws.com/millard-ayo-bucket/wp-content/uploads/2017/09/12124853/Kubenea.jpg

Wednesday, March 20, 2013

DARUSO-DUCE KOMBE LA MBUZI

ligi ya mbuzi iliyoandaliwa na ungozi wa wanafunzi chuo kikuu cha elimu kishiriki (DUCE), inatarajiwa kuanza mnamo siku ya kesho katika kiwanja cha  Mpira wa miguu chuoni hapo.
ambapo hiyo kesho kutakuwa na mechi ya ufunguzi baina ya

DARUSO  Vs STAFF
mnamo mida ya saa kumi na nusu jioni.
kwa wale wapenzi wa mchezo wa mpira miguu mnakaribishwa sana.

No comments:

Post a Comment