http://s3-us-west-2.amazonaws.com/millard-ayo-bucket/wp-content/uploads/2017/09/12124853/Kubenea.jpg

Thursday, March 21, 2013

man city kufanya juu chini ili yahya toure abaki kikosini


Yaya Toure 

mchezaji huyu naonekana kubakiza miaka miwili katika mkataba wake ndio maana wakala wake anapigania sana hili aweze kupata mkataba mpya,
Dimitri Seluk (wakala waTOURE) amewapa muda man city mpaka kufikia jumamosi wawe wameshatoa maamuzi juu kuondoka au kabaki.
kutokana na taarifa hiyo kutoka kwa wakala wake, matajiri wa london chelsea wameanza kuonesha nia ya dhati ya kumuhitaji mchezaji huyo kwa hudi na uvumba kwani katika nfasi anayocheza ndo anaonekana ni bora duniani
mchezaji huyu hupata paundi 220000 kwa wiki, kwa malipo ya mshahara wake anasema ni mzuri ila anataka haki za matangazo hasahasa sura yake inaptmika ipitiwe 

No comments:

Post a Comment