http://s3-us-west-2.amazonaws.com/millard-ayo-bucket/wp-content/uploads/2017/09/12124853/Kubenea.jpg

Monday, March 18, 2013

kwa mwaka wa tatu katika chuo kikuuu kishiriki cha elimu DSM-DUCE


Kocha mkuu wa kikosi cha mpira wa miguu bwana Malick Ally anawahiza wachezaji wote wa mwaka wa tatu kuweza kuhudhuria mazoezi kuanzia hii leo mapema ili kuweza kujiweka fiti na ligi inayowakabili kipindi kifupi kijacho kwa wale walioko mwaka wa tatu katika chuo kikuu kishiriki cha elimu  Dar es salaam. (DUCE).
Mazoezi yatafanyikia kwenye Uwanja mdogo wa mazoezi chuoni hapo (DUCE)

No comments:

Post a Comment