GHOROFA LILILOPO JIRANI NA GHOROFA LILILODONDOKA HIYO JANA HATIHATI KUBOMOLEWA
Ghorofa
lililopo jirani na ghorofa lilianguka jana katikati ya Jiji la Dar es
salaam lipo kwenye hati hati ya kubomolewa baada ya kuonekana limejengwa
chini ya Kiwango.Jengo hilo pia limejengwa na mkandarasi Lucky
Construction Limited ambaye ndiye aliyejenga ghorofa lililoporomoka
jana.
Tena libomolewe haraka sana maana litatuulia watu wetu bure.Hii inaonyesha ni jinsi gani viongozi wanaokuwa na makampuni na kisha hawawezi kutoa huduma inayotakiwa,hawa wako wengi katika nchi hii ambao ni viongozi na pia ni wakandarasi kwa secta mbalimbali,lakini ubora wa huduma yao ni hafifu sana.
Tena libomolewe haraka sana maana litatuulia watu wetu bure.Hii inaonyesha ni jinsi gani viongozi wanaokuwa na makampuni na kisha hawawezi kutoa huduma inayotakiwa,hawa wako wengi katika nchi hii ambao ni viongozi na pia ni wakandarasi kwa secta mbalimbali,lakini ubora wa huduma yao ni hafifu sana.
Tena libomolewe haraka sana maana litatuulia watu wetu bure.Hii inaonyesha ni jinsi gani viongozi wanaokuwa na makampuni na kisha hawawezi kutoa huduma inayotakiwa,hawa wako wengi katika nchi hii ambao ni viongozi na pia ni wakandarasi kwa secta mbalimbali,lakini ubora wa huduma yao ni hafifu sana.
ReplyDeleteTena libomolewe haraka sana maana litatuulia watu wetu bure.Hii inaonyesha ni jinsi gani viongozi wanaokuwa na makampuni na kisha hawawezi kutoa huduma inayotakiwa,hawa wako wengi katika nchi hii ambao ni viongozi na pia ni wakandarasi kwa secta mbalimbali,lakini ubora wa huduma yao ni hafifu sana.
ReplyDelete