http://s3-us-west-2.amazonaws.com/millard-ayo-bucket/wp-content/uploads/2017/09/12124853/Kubenea.jpg

Sunday, April 21, 2013

TOTTENHAM YAIUA 3-1 MANCHESTER CITY

Samir Nasri had given the away side the advantage early in the first half, but three late goals from Spurs produced a stunning turnaround that keeps their top-four hopes alive
EPL - TOTTENHAM-MAN CITY, Gareth Bale

The away side took a fifth-minute lead through Samir Nasri, converting James Milner’s low cross, and enjoyed superiority over Spurs for much of the opening hour of the match.

Despite appearing to be in control, however, City allowed Dempsey to tap home Bale's cross with fifteen minutes remaining, before Defoe and Bale scored in quick succession to give Tottenham a vital win in the race for the top four.

Andre Villas-Boas made two changes from the side that earned a 2-2 draw against Basel as Benoit Assou-Ekotto and, more importantly, Gareth Bale returned to the first team at the expense of Kyle Naughton and Lewis Holtby.

Roberto Mancini, meanwhile, rotated his side heavily, making five changes from the team that beat Wigan 1-0 on Wednesday with Edin Dzeko notably replacing Sergio Aguero, while David Silva picked up a knock in training that ruled him out.

After a fairly frantic start, it took just five minutes for the first goal to come. Excellent work from Carlos Tevez allowed Milner to cross for Nasri, who turned the ball home adeptly on the volley to give the away side the lead.

The goalscorer was at the centre of the controversy just minutes later, though, when he went in high on Kyle Walker; despite calls for a red card, referee Lee Mason deemed the challenge unworthy of even a foul.

Kyle Walker then spurned what eventually transpired to be Tottenham's only real chance of the half, firing straight at the onrushing Joe Hart after being played through on goal by Clint Dempsey.

Following that missed opportunity, City quickly took the initiative and almost doubled their lead before the break. Nasri and Dzeko both went close after being put through by the lively Tevez, but the former poked his effort just wide and the latter struck straight at Hugo Lloris in the Spurs goal.

It took Tottenham a little while to get going in the second half, but, aided by several shrewd substitutions from Villas-Boas, began piling on the pressure after the hour mark.

It was, typically, Bale who created the breakthrough goal, receiving the ball on the right wing and flicking a delicious ball to the back post with the outside of his left foot where Dempsey was on hand to convert.

Tottenham's momentum continued and it was mere minutes before the home side completed their comeback with another goal, courtesy of substitute Defoe. After the striker received the ball on the left from Holtby, he ran at Vincent Kompany, cutting inside before lashing an unstoppable effort past Hart into the far corner.

The home side's impetus appeared unstoppable as they extended their lead a few minutes later. Sub Tom Huddlestone embarked on a penetrative run before playing in Bale, who, through on goal, delightfully dinked over Hart to put Spurs 3-1 up and guaranteeing all three points.

Mambo ya Kuzungumza na Mchumba Kabla ya Ndoa


Baada ya kuvishwana pete ya uchumba, wasichana wengi huona kwamba kilichoko mbele yao ni kupanga harusi tu. Hujishughulisha kwa hali na mali kuhakikisha harusi inakuwa sawa na ile anayoiwaza siku zote, na kusahau kuwa baada ya harusi kuna maisha ambayo ndiyo haswa yanayopaswa kupangiliwa kwa umakini. Baadaye wanajikuta wameingia kwenye ndoa huku mambo mengi yakiwa hewani na hivyo kupelekea migogoro isiyoyalazima mara tu baada ya ndoa.

Kuna mambo muhimu sana ambayo wachumba wanapaswa wayaongelee na kufikia muafaka kabla ya kuunganika na kuwa mwili mmoja. Yanaonekana ya kawaida sana lakini yanaweza kuleta msuguano na kuharibu kabisa furaha ya ndoa. Tuyaangalie kwa uchache:

1. Mahali pa kuabudu.
Binti anaabudu katika kanisa kubwa na ndiye kiongozi wa sifa na muongozaji wa nyimbo karibia zote za kwaya, na kijana anaabudu kwenye kanisa dogo linaloanza na ndiye mwenyekiti wa vijana na mwalimu wa shule ya jumapili. Hapa nani anamfuata nani? Bila kukaa chini na kujadiliana kwa pamoja jambo hili linaweza kuleta mvutano. Ni vyema mkaangalia kwa mapana na marefu option zote kisha kwa pamoja mfikia muafaka kulingana na huduma ya kila mmoja wenu.

2. Jinsi ya Kuishi
Waafrika ni kawaida yetu kuishi pamoja na ndugu zetu na kusaidiana katika mambo mbalimbali ya maisha. Sio jambo geni kumkuta kijana au msichana anaishi na wadogo zake na kuwasomesha. Linapokuja suala la ndoa ni vyema jambo hili likawekwa sawa mapema. Je mtaweza kuishi na ndugu wangapi? Na wa upande upi na kwa kigezo gani? Je wataanza kuishi nanyi muda gani baada ya kuoana? Pale tu mtakapooana au lini? Hili si jambo dogo na linaweza kuharibu amani kabisa ndani ya nyumba. Ni vyema mkaliweka sawa mapema na wale mnaoishi nao wajue hawaishi tena na kaka au dada bali Mr & Mrs hivyo heshima iwe kwa wote. Pia sishauri kuishi nao mara tu baadavya kuoana, ni bora wakaenda kwa ndugu wengine angalau mwezi mmoja wa kwanza muweze kuwa na wakati wenu wa faragha wa kufahamiana vizuri na kuizoea nyumba yenu mkiwa wenyewe.

3. Mapato na Matumizi
Hili ni eneo nyeti sana. Wasichana wengine wanapoolewa huambiwa kuwa ‘usimwambie mumeo unapata kiasi gani na uwe na akaunti yako ya siri.’ Mmh hapa pana tatizo, maana nijuavyo mimi mwili mmoja ni katika kila idara, hamna siri. Sasa wewe ukificha na mwenzio akaficha, kuna maendeleo kweli hapo? Ni muhimu sana kwa wachumba kukaa na kupanga jinsi ya kuyatumia mapato yenu mtakapooana. Muwe wawazi kila mmoja anachokipata na muainishe matumizi yenu na kuangalia ni kwa jinsi gani mtaweza kuyafanikisha.

Baada ya kuoana, kila kitu kitakuwa ni chenu wote. Kama ulikuwa na nyumba, gari, viwanja, shares, bank accounts n.k vyote vinakuwa mali ya familia, hivyo ni vyema mkaangalia hili mapema ili asije mmoja wenu akajenga nyumba kwa siri bila mwenzie kujua. Pia muangalie ni ndugu gani wanahitaji msaada kifedha na jinsi gani mtaendelea kuwasaidia, mfano ada, matibabu, n.k. Hapa panahitaji hekima kubwa sanabya kiMungu kuamua nani asaidiwe kulingana na kipato chenu kwa wakati huo. Maana ndugu wa kuhitaji msaada wenu watakuwa ni wengi kuliko uwezo wenu. Hapa ndipo mstari wa mithali 14:1 unapoleta maana.
Mithali 14:1 Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.

4. Mipango ya Mbeleni
Shule, ujenzi, kuanzisha familia, kufungua biashara, kuanzisha huduma n.k yote haya yanahitaji kuzungumziwa mapema na kuwekewa misingi. Mfano wewe unahitaji baada tu ya ndoa utafute scholarship ukasome ulaya wakati mwenzio akifunga macho tu anajiona anaitwa baba, hapo lazima shida itatokea. Lazima mjue vipaumbele vyenu kama familia ni nini. Mkishafahamu hilo ni rahisi kujua muanzie wapi na wakati gani. Mume hawezi tu kuamka asubuhi na kusema anaacha kazi na kuanzisha kanisa, sasa familia itakula wapi? Ni lazima mkae chini mpange mjue mume akiacha kazi familia itaishije, mke je atakuwa tayari kubeba majukumu yote?

Mwisho huu ndio wakati muafaka kumweleza mwenzio kama uliwahi kuchumbiwa hadi kutolewa mahari lakini mambo yakaharibika. Pia kama unamtoto ni lazima narudia LAZIMA umweleze mwenzi wako. Usiingie kwenye ndoa na siri yoyote, itakuwa ni bomu la kuwasambaratisha.

Rais Jakaya Kikwete Kufungua Mkutano wa Mawaziri wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU)Jijini Dar es Salaam 22 Aprili, 2013


Taarifa Kwa Umma Kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa:Rais Jakaya Kikwete Kufungua Mkutano wa Mawaziri wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU)Jijini Dar es Salaam 22 Aprili, 2013


Mkutano wa Mawaziri wa  Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU) utafanyika hapa Dar Es Salaam tarehe 22 Aprili, 2013. Mkutano huo unatarajiwa kufunguliwa na Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika lina wajumbe 15 kutoka kwenye Kanda zote tano za Umoja wa Afrika. Wajumbe hao ni Algeria, Angola, Cameroon, Congo (Barazzaville), Cote d’Ivoire, Djibouti, Equatorial Guinea, Gambia, Guinea, Lesotho, Misri, Msumbiji, Nigeria Uganda na Tanzania.

Baraza hilo litakalokutana  chini ya Uenyekiti wa Waziri wa Mambo ya Nje Na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Kamillius Membe, litajadili pamoja na mambo mengine, hali ya kisiasa nchini Madagascar ambayo iliathiriwa vibaya na mapinduzi yaliyofanyika nchini humo mwezi Machi, 2009.

4Mkutano huo muhimu unatarajiwa kupendekeza mikakati ya kusaidia Madagascar kufanya uchaguzi huru na wa haki mwezi Julai, 2013.


IMETOLEWA NA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA 
KIMATAIFA, DAR ES SALAAM.
20 APRILI 2013
Taarifa Kwa Umma Kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa:Rais Jakaya Kikwete Kufungua Mkutano wa Mawaziri wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU)Jijini Dar es Salaam 22 Aprili, 2013


Mkutano wa Mawaziri wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU) utafanyika hapa Dar Es Salaam tarehe 22 Aprili, 2013. Mkutano huo unatarajiwa kufunguliwa na Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika lina wajumbe 15 kutoka kwenye Kanda zote tano za Umoja wa Afrika. Wajumbe hao ni Algeria, Angola, Cameroon, Congo (Barazzaville), Cote d’Ivoire, Djibouti, Equatorial Guinea, Gambia, Guinea, Lesotho, Misri, Msumbiji, Nigeria Uganda na Tanzania.

Baraza hilo litakalokutana chini ya Uenyekiti wa Waziri wa Mambo ya Nje Na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Kamillius Membe, litajadili pamoja na mambo mengine, hali ya kisiasa nchini Madagascar ambayo iliathiriwa vibaya na mapinduzi yaliyofanyika nchini humo mwezi Machi, 2009.

4Mkutano huo muhimu unatarajiwa kupendekeza mikakati ya kusaidia Madagascar kufanya uchaguzi huru na wa haki mwezi Julai, 2013.


IMETOLEWA NA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA
KIMATAIFA, DAR ES SALAAM.
20 APRILI 2013

MADHARA YA KUPIGA PUNYETO

Punyeto(Masturbation) au wengine wanaita ‘pool’ au ‘nyeto’ ni kitendo cha wewe mwenyewe kujitelea msisimko na kuweza kujifikisha kileleni kwa njia ya kujichua.
Najua wanaume wengi mmepita happa na wengine mnao sana huu mchezo, ukiingia bafuni unapaka sabuni yako unaanza kazi, au umekaa chumbani kwako ghafla hisia zimekujia au ulikuwa unaangalia blue movies mzuka ukakushika ukajikuta unapapasa mashine mara uweke mate kidogo huku unasugua na mwingine anamafuta maalam kwaajili ya nyeto tu! Haya si mbaya maana
Punyeto ni sehemu ya maisha ya binaadam na baadhi ya madaktari hushauri siyo tu kuongeza uzoefu katika tendo la ngono ila pia katika kuboresha afya kwa ujumla wake. Ingawaje kuzidi kwa kila jambo hata kama ni jema huwa baya, vivyo hivyo kukithiri kwa ufanyaji wa ‘nyeto’ husababisha matatizo mbalimbali kama hayo chini

ATHARI ZA PUNYETO
Wanaume waliowengi hukidhi haja zao kwa kutuliza matamanio yao kwa njia ya kujichua/ kupiga punyeto bila kufahamu madhara yake: Nikweli punyeto inasaidia kupunguza hamu ya tendo na ni njia nzuri ya kujiepusha na zinaa kwa kujilinda na maradhi ila kiukweli ina madhara na madhara yake mara nyingi hutokea kwa mtu anaependelea sana kupiga punyeto, kutokana na utafiti uliofanywa kisayansi imeonekana punyeto ni nzuri kiafya ila endapo kama utakuwa unapiga mara moja moja na sio kila siku. Napenda kuwashauri watu wanaopiga punyeto wawe makini na wasiendekeze jambo hili kwani madhara yake ni makubwa sana na Athari zake kubwa ni hizi zifuatazo:
1. PUNYETO INAUA NGUVU ZA KIUME:
Upigaji wa punyeto unaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, kwani kipindi unapiga punyeto jua ile mishipa inayofanya uume usimame unakuwa unaichua na uume unakuwa umesimama kwa muda mrefu sasa ikitokea ukawa unafanya hivi kila siku ile mishipa inalegea na uume unakuwa unakosa nguvu hata ukisimama haui strong unakuwa kama umelegea.

2. KUWAHI KUMALIZA MAPEMA KATIKA TENDO:
Mara nyingi mtu aliezoea kupiga punyeto huwahi kumaliza mapema pindi akiwa anafanya mapenzi na mpenzi wake na wakati mwingine uume hushindwa kusimama kwa mara ya pili na kujikuta anashindwa kurudia tendo ikiwa mpenzi wake bado hajaridhika na anahitaji kuendelea kusex.

Athari nyingine ni kama zifuatazo
3.Uchovu wakati wote / Fatigue. Feeling tired all the time.
4.Maumivu ya nyonga / Lower back pain.
5.Kusinyaa kwa Nywele / Nywele kunyonyoka / Thinning hair / Hair Loss
6.Maumivu ya kende / Groin / Testicular Pain
7.Maumivu ya kiuno / Pain / cramp in the pelvic cavity or/and tail bone

Pia kuna kitu nataka niwadokeze kidogo, hiyo hapo
Njia ya kufanya au kukusaidia upige game ndefu
Mtu anaweza kujamiiana mara mbili mpaka tatu kwa wiki katika hali ya kawaida ya tendo la ndoa. Ingawaje tendo la ndoa linaweza kufanyika mara nyingi zaidi pale ambapo mwanaume atajifunza kufikia kutika kilele cha Raha (orgasm) bila ya kutoa manii (shahawa) na kwa kufanya hivyo atajihifadhia nguvu ya kibaiolojia katika mfumo wake na kuufanya Uume kuwa wenye nguvu na kuendelea na mwendo kwa muda mrefu zaidi na mwishoni kupata mshindo wenye ujazo tosha mkubwa na ulio katika viwango vya ukweli.(Unajua maana yake yaani ukitaka kukojoa unakuwa kama unajizua au unajibana)

Utajuaje kama ushaaathirika na Punyeto??
Ukiona unatokwa na shahawa bila hata uume kusimama jua ‘kwishney’ imekula kwako, wewe unapaswa uende ukawaone wataalam haraka sana dalili nyingine ni kama za hapo juu maumivu ya kende, kiuno, nyonga, uchove, nguvu za kiume kupotea, unacheza gemu
Ila bado hujachelewa ndugu yangu kama umeathiriwa na hili tatizo solution ipo waone madaktari watakusaidia

KUTOKANA NA KUKIDHIRI KWA WIZI MAKABURINI MGAMBO APEWA KAZI YA KULINDA KABURI NYAKATI ZA USIKU

      Mmoja wa wanafamilia akimpa maelekezo mlinzi huyo wa kaburi hilo la kifahari
 Mgambo huyo akitoa maelezo kwa familia ya mzee Mdaku,kulia ni mke wa marehemu na kushoto ni mtoto wa kwanza wa marehemu akiwa na mumewe
                       Padri akizungumza na Mgambo huyo nje ya kaburi hilo
 Maneno haya ya busara yaliwekwa nyumba ya msaraba uliopo kwenye kaburi la mpendwa wetu Mzee Mdaku
Baada ya kuhojiwa na mwandishi wa habari hizo Afande huyo alitoa rundo la viroba mfukoni na kudai kwamba kitu hicho ndichon pekee kinachompa ujasili wa kukaa makaburini usikukucha
 Baada ya kugonga viroba mfurulizo afande huyo alijikuta akiuchapa usingine wakati shughuri zikiendele kama alivyonaswa na kamera za Mtandao huu.
KUTOKANA na kukidhiri kwa vitendo vya wizi kwenye makaburi,familia ya marehemu mdaku imeamu kuweka mlinzi kulinda kaburi la mpendwa wao nyakati za usiku kwa lengo la kulinda vitu mbali mbali vya dhamani zilivyomo kwenye kaburi la mpendwa baba yao.
Akihojiwa na mwandishi wa habari hizi mgambo huyo aliyejitambulisha kwa jina la Mganga Chigillo aliuthibitishia mtandao huu kupewa kazi ya kulinda kaburi hilo vyakati za usiku kwa lengo la kupambana na vikaba wenye tabia ya kuvamia makaburini vyakati za usiku na kuimba vitu mbali mbali.
" Nikweli nalinda kaburi la mzee mdaku na kwamba kazi hiyo sio nyepesi mfano jana majira ya saa nanne usiku nimeshuhudiakundi la watu wake kwa waume wakiwa wamevamia nguo nyeupe wakizunguka kwenye makaburi .lakini kwa ujasiri sikukimbia badala yake niliendele kugonga pombe yangu aina ya  konyagi  niliweka dhana zangu jirani kama wangenilitea noma ningepambana nao kwa bahati nzuri walipomaliza shughuri zao waliondoka zao bila kusogea kwenye kaburi hili" alisema Mgambo huyo mwenye mke na watoto kadhaa.
Juzikati familia ya marehemu Mdaku ambaye alitajwa kuwa ni muumni safi wa kanisa katoriki Parokia ya Kingurunyembe walimfanyia ibada ya kumbukumbu ya mwaka mmoja toka alivyotutoka,Bw ametoa na bwana ametwa jina lake libarikiwe,
            SOURCE:  global publishers limited

hii ndo historia kwa ufupi ya Jack Wilshere wa ARSENAL

playerprofile_wilshere

Jack Wilshere


Having experienced a sensational first-team breakthrough in 2010/11, last season proved to be a major disappointment for Jack as injury ruled him out of the entire campaign. Not only that, but his dreams of competing for England at Euro 2012 were dashed too. It was a major blow for the midfielder following such a thrilling debut season, but Jack’s long-awaited return will be a major boost for Arsene Wenger this term.
Seen as arguably the most exciting young English midfielder of his generation, Jack has been with the Club since the age of nine and was a key member of the 2009 FA Youth Cup-winning side. Since then his rate of progression has been nothing short of exceptional, and when he stepped up into the first team he immediately caught the eye with a string of fine displays.

Jack Wilshere Profile

Born January 01, 1992
Stevenage, Hertfordshire
Position: Midfielder
       Squad Number:       10
        Previous Club(s)     Bolton (loan)
     Arsenal Debut     September 13, 2008
His debut season saw him make 49 appearances in all competitions, and it came as no surprise when he won the PFA Young Player of the Year award. Jack also established himself in the England side too before injury struck, winning five caps for the national team. His return to action will be a source of pleasure to both Arsenal and England fans everywhere.

Jack Wilshere's Arsenal Career

Prem Lge Europe FA Cup Lge Cup Total
Season            Apps Goals Apps Goals Apps Goals Apps Goals Apps Goals
2008-2009 0 + 1 0 0 + 2 0 0 + 2 0 3 1 3 + 5 1
2009-2010 0 + 1 0 1 + 2 0 1 0 2 0 4 + 3 0
2010-2011 31 + 4 1 7 1 1 + 1 0 5 0 44 + 5 2
2012-2013 20 + 1 0 3 1 2 + 2 1 1 0 26 + 3 2
Total 51 + 7 1 11 + 4 2 4 + 5 1 11 1 77 + 16 5


My Year

  • 2012/13
  • 2011/12
  • 2010/11
  • 2009/10
  • 2008/0

August

Jack continued his recovery from an ankle injury. "We still have to assess them [him and Bacary Sagna] again after the international break," said Arsene Wenger. "After that they should not be too far away from normal training."

September

Jack did not feature in September.

October

Jack finally made his return to the first team, making his first Premier League start for 524 days in the win over QPR. The 20-year-old made an immediate impact, producing a typically combative performance that saw him crowned Man of the Match. “It felt amazing to be back,” Wilshere said. “All the hard work and long days at the training ground have paid off.

November

Jack started the month by being sent off at Old Trafford. Things improved from there though, and he scored his first goal since returning from injury in the 2-0 win over Montpellier. “I’m very happy because Jack lost more than a year with injury,” team-mate Laurent Koscielny said after Wilshere’s goal against the French side. He’s a very good player. He’s young and has a long career in front of him. He played well for the team and it’s good he scored.”

December

Jack made six appearances in December and was named man of the Match against both West Brom and Bradford. The young midfielder committed his long-term future to the Club after signing a new deal, to the delight of Arsene Wenger, who said: “Jack is certainly the best known, the leader of this group [of young British players]. We’re very happy that we could conclude their new deals at the same time.”

January

Jack continued to impress in the opening month of 2013, playing a part in all eight of Arsenal’s games and scoring the winner against Swansea in the FA Cup. His all-action performance against the Swans saw him named man of the match, while he was also voted Arsenal’s best player against Manchester City. Meanwhile, Jack was given the captain’s armband when regular skipper Thomas Vermaelen went off injured against West Ham United. “[Wilshere] is naturally a guy who is not scared of anything on the football pitch and that is usually the sign of a leader,” Arsene Wenger said. “He wants to win and shows you that. “Of course he will be one of the leaders of this club - in fact he already is. A leader is somebody who does everything on the pitch to help his team to win. And he does that.”

February

Jack started all but one of Arsenal’s games in February, also coming on as a second-half substitute against Blackburn Rovers. The 21-year-old continued to impress with a series of dynamic displays, and was named man of the match for his performance in the game against Bayern Munich. “He adds that little bit more that we need in many of our games,” said Santi Cazorla. “His return from injury was a great plus for the Club and we all hope he can maintain the level he’s at because he’s very good."

March

Jack played the entirety of the north London derby against Tottenham Hotspur before picking up an injury that ruled him out of the month’s remaining games. 
                               SOURCE: ARSENAL.COM